*Tunasikitika kutangaza kifo cha Pamela Sima Ruhago kilichotokea jijini Dar
es salaam jana tarehe sita June, 2014.*
* Maombelezo yanaendelea Mbweni nyumbani kwa Mama yake, Eva Ruhago.Mtaa wa
MICA.*
* Ibada ya mazishi itafanyika kesho tarehe 08 June, 2014 TISA KAMILI
mchana katika kanisa la KKKT BOCCO - Mbweni na Mazishi yatafanyika MARA
BAADA YA IBADA NA KUAGA katika makaburi ya Bahari beach kwa Kondo kuanzia
saa kumi jioni.*
*Bwana ametoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe. Roho ya marehemu Pamela
Sima Ruhago ipumzike amani Amin*

Post a Comment