0
M/kit wa Uvccm kata ya msasani Ndg.severine kumbila ameonya kijana yoyote wa uvccm wanaokaa vikao nje ya vikao na kuwasema viongozi na kupanga njama za kuhujumu uongozi wa uvccm kata na kuchochea viongozi wa matawi kugomea maagizo ya viongozi wa kata na anaetoa siri za vikao endapo ikibainika MTU au kundi lolote atachukuliwa atua Kali kwa mjibu wa kanuni ya uvccm.mwenyekiti alisema hayo kwenye kikao cha kamati ya utekelezaji kata.

Post a Comment

 
Top