Wajumbe wa Jumuiya ya wazazi wakipata
maelezo ya umuhimu wa matumizi sahihi ya taarifa za hali ya hewa kwa sekta ya
kilimo na mifugo kutoka kwa Meneja huduma za hali ya hewa- kilimo Bw. Isack
Yonah (Hayupo pichani)
Wajumbe wa Jumuiya ya Wazazi wa Wilaya ya Ilala wakipata maelezo jinsi ya kurekodi utabiri wa kila siku katika studio ya TMA iliyopo katika ofisi za Mamlaka- Makao Makuu, Ubungo Plaza
Meneja wa ofisi ya utabiri Bw. Samwel Mbuya akitoa maelezo jinsi mchakato wa uandaaji utabiri unavyofanyika wakati wajumbe wa Jumuiya ya Wazazi wa Wilaya ya Ilala walipotembelea ofisi hizo.
Wajumbe wa Jumuiya ya Wazazi wa Wilaya ya Ilala wakipata maelezo jinsi ya kurekodi utabiri wa kila siku katika studio ya TMA iliyopo katika ofisi za Mamlaka- Makao Makuu, Ubungo Plaza
Meneja wa ofisi ya utabiri Bw. Samwel Mbuya akitoa maelezo jinsi mchakato wa uandaaji utabiri unavyofanyika wakati wajumbe wa Jumuiya ya Wazazi wa Wilaya ya Ilala walipotembelea ofisi hizo.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya
Hewa Dkt. Agnes Kijazi ( wa pili kulia waliokaa) akifuatiwa na mwakilishi wa mwenyekiti
wa Jumuiya ya Wazazi wa Wilaya ya Ilala Bi. Angelina Malembeka katika picha ya pamoja na wajumbe wa Jumuiya
ya Wazazi na uongozi wa TMA.




Post a Comment