0


 Wajumbe wa Jumuiya ya wazazi wakipata maelezo ya umuhimu wa matumizi sahihi ya taarifa za hali ya hewa kwa sekta ya kilimo na mifugo kutoka kwa Meneja huduma za hali ya hewa- kilimo Bw. Isack Yonah (Hayupo pichani)
Wajumbe wa Jumuiya ya Wazazi wa Wilaya ya Ilala wakipata maelezo jinsi ya kurekodi utabiri wa kila siku katika studio ya TMA iliyopo katika ofisi za Mamlaka- Makao Makuu, Ubungo Plaza
Meneja wa ofisi ya utabiri Bw. Samwel Mbuya akitoa maelezo jinsi mchakato wa uandaaji utabiri unavyofanyika wakati wajumbe wa Jumuiya ya Wazazi wa Wilaya ya Ilala walipotembelea ofisi hizo.


Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Dkt. Agnes Kijazi ( wa pili kulia waliokaa) akifuatiwa na mwakilishi wa mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa Wilaya ya Ilala Bi. Angelina Malembeka  katika picha ya pamoja na wajumbe wa Jumuiya ya Wazazi na uongozi wa TMA.

Post a Comment

 
Top