HESLB YAZINDUA OFISI YA KANDA MWANZA 6:50 AM Unknown 0 A+ A- Print Email Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mh. Baraka Konisaga akihutubia wageni waalikwa katika hafla ya ufunguzi wa ofisi ya Kanda ya HESLB Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mh. Baraka Konisaga akitia saiani kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili kwa ajili ya ufunguzi wa ofisi ya Kanda ya HESLB Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB Nd. Asangye Bangu akisoma salaam za makaribisho kwa mgeni rasmi Mh. Baraka Konisaga – Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza(A.I)
Post a Comment