![]() |
Makamu Mwenyekiti UVCCM Taifa Mhe. Mboni Mhita akiwa na Mwenyekiti wa Chipukizi Taifa Mh. Nimka wakikagua gwaride la Chipukizi wa Kata ya Msasani. |
Mwenyekiti wa Chipukizi Taifa Mh. Nimka akigawa vitabu kwa watoto waishio kwenye kituo cha serikali cha kulelea watoto yatima kilichopo kurasini.
Mwenyekiti wa Chipukizi Taifa Mh. Nimka akigawa vitabu kwa watoto waishio kwenye kituo cha serikali cha kulelea watoto yatima kilichopo kurasini.
Makamu Mwenyekiti UVCCM Taifa Mhe. Mboni Mhita akiwa na Mwenyekiti wa Chipukizi Taifa Mh. Nimka wakiwa katika picha ya pamoja na Viongozi Wengine
![]() |
Katibu Hamasa na Chipukizi Wilaya ya Kinondoni Ndg. Omary Bomba akimkaribisha Makamu Mwenyekiti Uvccm Taifa Mhe. Mboni Mhita kukagua gwaride la Chipukizi wa Kata ya Msasani. |
Post a Comment