Home
»
» Unlabelled
» MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA MH. SADIFA JUMA AMSIMIKA KAMANDA WA WILAYA YA KILOLO MKOANI IRINGA
 |
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi(UVCCM) Taifa Mh. Sadifa Juma Akibadilishana mawazo na Katibu wa Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi(UVCCM) Mkoa wa Iringa Alawi Haidary Foum. |
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi(UVCCM) Taifa Mh. Sadifa Juma Akimuapisha Kamanda wa Wilaya ya Kilolo Prof. Peter Mahmudu Msola ambae pia ni Mbunge wa Jimbo hilo.
 |
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi(UVCCM) Taifa Mh. Sadifa Juma Akisaini Kitabu cha Wageni cha Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Iringa. |
Post a Comment